Sunday, November 25, 2012

WANAFUNZI WA CHUO CHA RCT WAENDA LIKIZO

Wanafunzi wa chuo cha RCT wa ngazi ya Stashada na Astahada wamemaliza mitihani yao hii leo na kuanza rasmi likizo yao ya miezi miwili, ambapo wanataraji kufungua tarehe 29 january 2013.

Akiongea na wanafunzi hao mkuu wa taaruma chuoni hapo bwana Nsjigwa Mwalugaja amewatataka wanafunzi hao kwenda nyumbani kupumzika huku pia wakiendelea kujiandaa kwa ajili ya muhula ujao

Aidha bw. Mwalugaja amewataka wanafunzi hao kuwakumbusha wazazi pamoja na walezi wao kuwapatia karo mapema ili waweze kupokelewa chuoni.

No comments:

Post a Comment