KOMBE LA CECAFA LINALOSHINDANIWA...WENYEJI Uganda, The Cranes wameanza
vema michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA
Tusker Challenge baada ya kuilaza Kenya, Harambee Stars bao 1-0 kwenye
Uwanja wa Mandela, uliopo Namboole, Kampala, Uganda.Shukrani kwake,
mshambuliaji wa Saigon Xuan Thanh ya Vietnam, Geoffrey Kizito aliyefunga
bao hilo pekee la ushindi dakika ya 74, akiunganisha krosi ya...Read More
No comments:
Post a Comment