Sunday, November 25, 2012

Sunday, November 25, 2012

UGANDA YAWACHINJA KENYA KATIKA UFUNGUZI WA CHALENJI CUP

KOMBE LA CECAFA LINALOSHINDANIWA...WENYEJI Uganda, The Cranes wameanza vema michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA Tusker Challenge baada ya kuilaza Kenya, Harambee Stars bao 1-0 kwenye Uwanja wa Mandela, uliopo Namboole, Kampala, Uganda.Shukrani kwake, mshambuliaji wa Saigon Xuan Thanh ya Vietnam, Geoffrey Kizito aliyefunga bao hilo pekee la ushindi dakika ya 74, akiunganisha krosi ya...Read More

No comments:

Post a Comment